Saturday 3 April 2021

UVUNAJI NA UUZAJI WA SAMAKI AINA YA KAMBALE:

Ndugu Mnyema Mfugaji wa samaki aina ya kambale anatarajia kuvuna  anatarajia kuvuna samaki wake hivyo anayofuraha kuwaalika wadau wote hususani wachuuzi kwenye shamba lake anapofugia.

Eneo :Kibaha kwa Mfipa
 
Kwa ufafanuzi zaidi kuhusiana na bidhaa na mengineyo kumhusu Mnyema tumia mawasiliano haya:

namba za simu: +255716879793
                           +255779763434 

Karibuni sana!

No comments:

Post a Comment